Tuesday, 5 June 2012

Filamu ya “TheHunger Games” imejinyakulia tuzo nne...


Filamu ya “The Hunger Games” imejinyakulia tuzo nne za MTV za mwaka huu.


Bridesmaid, the punultimate Twilight installment na sehemu ya mwisho ya muendelezo wa filamu za Harry Potter  zilijipatia tuzo pia.


Russel Brand ndiye aliyeoongoza hafla hiyo , katika jiji la Universal, los Angeles
Jonny Depp alipata tuzo za heshima, MTV generation award.
 “ni sawa na kuondoka katika ulimwengu wa tuzo” sababu umeshafanya vitu vingi mno” alitania nyota huyo wa filamu za Pirates of the caribean.

Zawadi zingine zilienda kwa aliyekuwa nyota wa tamthilia ya Friends Jennifer Aniston, ambapo nafasi yake kama dakatari ma wa meno katika filanu “Horrible Bosses” ilimpatia wadhfa wa “best on screen”

“Harry potter and the Deathly Hallows pati 2” ilishinda tuzo ya filamu iliyokuwa na jopo bora na tuzo ya mashujaa (the best cast and best hero awards).  Wakati “Twilight saga Breaking Dawn pati 2” ilipata tuzo ya filamu ya mwaka.

Mundelezo wa filamu ya 

“Vampire” ilipata tuzo ya Busu 

bora, kwa miaka minne kwa mfululuizo.










Mwanadada Melisa McCarthy wa filamu ya "bridesmaid" alijinyakulia tuzo ya mchekeshaji bora.

No comments:

Post a Comment