Sunglasses za ukweli kamwe hazipitwi na wakati, ila ni nani ambaye hajawahi kujichanganya na
kuangukia kwenye suglasses za gharama, au za offer mwisho wa siku tunajikuta
kuwa hazitupendezi au haziendani na muonekano wetu. Kitu cha msingi katika uchaguzi
wa sunglasss nzuri, ni umbo la uso wako, kufanya shopping kwa utulivu na kwa
muda wa kutosha, au kupata dondoo kadhaa, ni vigumu kujitambua wewe kama wewe
ni vyema ukiambatana na mtu ili uweze kupata mtazamo wa upande wa pili
Aina nzuri au muundo mzuri wa sunglasses utategemeana na umbo la
uso wako, ila ni vyema kufikiria na rangi na umbo ya fremu hayo miwani pia, mfano
fremu za rangi nyeusi zinaweza zisimechi na mirindimo ya baadhi ya rangi ya
ngozi.
Nunua Sunglasses za gharama kidogo, epukana na miwani ya bei
rahisi, hasa ya wamachinga, sana sana zitakuacha na alama kwenye pua, au kutokukinga na
miyale ya jua kama ina vyostahiki, kutana na
dondoo kadhaa zitakazo kusaidia kuchagua sunglasses nzuri
Uso wenye Duara
Kama una wa babyface, mashavu yaliyojaa na kidevu cha duara, na
kama unataka uso mwenye msisitizo au uso mrefu, badala ya uso laini au mpana,
basi vaa sunglasses zenye fremu zilizo chongoka, kisha jiepushe sana na
sunglasses zenye lens kubwa sana na zenye kinarefu , zitaficha uso wako, na
kuufanya uso kuonekana mdogo.
Umbo la Moyo
Kama unakomwe pana na mashavu yenye kuchongoka Fulani, muonekano
wa namna hii hufanya kidevu kuonekana kidogo, kubalance uso na kuufanya
uonekane mzito, vaa sunglasses zenye umbo la mraba au fremu za duara, kisha epusha
fremu ambazo ni pana sana
juu kuliko chini.
Rihanna na kate Moss nyuso zao zina muonekano huu
Umbo la mraba
Kuna nyuso flani zinakama muonekano wa mraba na uso mpana, hapa
unatazamia kuongeza urefu wa uso, na kufifisha engo za kidevu, fremu zenye
shepu ya tufe au duara zitafifisha uso wako, kwa hiyo epusha fremu
zilizochongoka na zenye ncha. Fremu nyembamba na ndogo ni chaguo zuri
zitaufanya uso mdogo kuonekana mrefu. Mfano ni gwiji wa filamu wa nchini Marekani Cameron Diaz
Uso Mrefu

Umbo la Tufe




No comments:
Post a Comment