How to look good in every photo
Jinsi ya kutoka bomba katika kila picha
Angalia kulia.
Utafiti wa kimarekani
chini ya chuo cha Wake Forest University umethihirisha kuwa upande wa
kushoto wa sura una mvuto kuliko upande
wa kulia, kwa hoja kwamba sehemu hiyo ya
uso huonyesha hisia . Ili kupata picha nzuri
ya profile, angalia kidogo upande wa kulia ili kudhihriisha uzuro wako. , hii
yaweza kutoa taswira ya sura nyembaba kwa wale wenye wenye uso wa duara
Pangilia vipodozi vyako
Kupata uso wenye
mvuto, epusha faundeshen zenye madini ya
titanium.ingawa faundesheni, zinafaida kubwa katika muonekana wa kila siku,
flash ya kamera, yaweza kuubadilisha muonekano kuwa wenye kutisha wenye wingu
wa rangi nyeupe, ukishapaka faundesheni
yako malizia kwa kupaka poda ya uso
kupunguza mngao.
Jitokeze.
Kuhakikisha unatoka
bomba kwenye picha , hakiksha unasisitiza na kuonyesha sehemu zako zenye mvuto
zinaonekana kimvuto , jaribu kupaka eyeline. Tofauti na hapo paka lipstick kwa
mbali , kasha vaa nguo mbayo inayoendana na rangi ya ngozi yako, na shepu yake
Usitazame Lens Moja kwa Moja.
Hakuna anayetaka macho
ya kusinzia au mekundu , huaribu picha nzuri, hakikisha unaepusha hii hali kwa
kukwepesha macho kwenye kamera , kwa kuangalia chini au juu ya camera.
Kuangalia moja kwa moja kwenye lens itapelekea mwanga wa flash ya kamera
kufanya mboni ya macho kuwa mekundu, kwepesha macho ili usikutane na macho kuwa
yamesinzia sababu ya kuya kwapua
Epusha Macho mekundu.(red eye).
Macho kuwa mekundu
kwenye picha husababishwa na reflecting kutoka nyuma ya macho, wale wenye mboni
kubwa,wana uwezekano mkubwa wa kupatwa nah ii halii.kama kukwepesha macho
haisadii basi jaribu kuhakikisha hilo
eneo lina mwangaza wa kutosha, au wewe kuwa na nuru ya kutosha kabla ya kupiga or
au angalia mwangaza ili mboni za macho
yako ziwe ndogo
Epusha mwanga wa moja kwa moja
Inaweza shindikana
kuudhibiti moja kwa moja mwanga wa kamera yako, labda uwe mwana mitindo
uliyebobea. ila ni vizuri kutambua kuwa mwangaza wa moja kkwa moja toka juu
waweza pelekea vivuli usoni mwako, na kuaribu muonekano wako, chagua maeneo
yenye mwangaza mwepesi, au nenda kwenye
kivuli kama ni nje
Pozi kama profeshono.
Kama ni picha ya mwili
mzima, lifanyie mazoezi kwa muda mrefu
pozi lako, kwa kuzungusha mwili wako robo tatu kwa kuelekea kamera , huku bega
moja likielekea camera huku mguu mmoja ukiwa mbele ya mwenzake.itafanya mwili
wako uonekane mwembamba, kuliko,jaribu
kurudisha mgongo wako na bega lako nyuma, tumbo lako kwa ndani. Kidogo vuta
hewa ndani.
Tambua tabasamu zuri.
Wengi huelekeza umakini
wetu kwenye midomo tunapotaka kutabasamu, ila kwa mujibu wa mwana mitindo mashuhuri Tyra banks, ni jinsi ya kutawamu
kwa macho, kuliko kulazimisha tabasamu , jaribu kufikiria vuta hisia ya kitu
ambacho kitakufanya ufurahi, ili kupata tabasamu halisia, unaweza
kulipendezesha tabasamu lako kwa kuzingatia viungo vyako,
kwa mfano, tabasamu pana kwa wale wenye meno mazuri, au tabasamu
fupi, hupelekea macho kuonekana madogo na yenye mvuto.
Pozi..
Fanyia mazoezi pozi lako,
Makala zingine

No comments:
Post a Comment