Saturday, 26 May 2012


ALICIA KEYS LYRICS

"Un-Thinkable (I'm Ready)"

Wasaa wa ukweli
Mmoja kati yetu anapaswa kuongoza haya mazungumzo
Je itakuwa nani?
Mimi nitakaa hapa hapa
Nitasema kila kitokacho upande wangu
Kama unachakusema
Itakubidi useme sasa
(Drake: Itakubidi useme sasa
Upo tayari?

[Bridge]
Unanipa hisia ambazo sikuwahi zihisi hapo kabla
Na ninastahiki, nafikiri ninastahiki
[Drake: Nastahiki, nahisi stahiki ..ipotezee)
Kinabadilika kuwa kitu ambacho, ni vigumu kukipuuzia
Na nimeshindwa kuvumilia
(Drake: Nimeshindwa kuvumilia)

[Chorus-Alicia & Drake]
Nilikuwa nastaajabu pengine
Je naweza kukufanya mpenzi wangu
Tukifanya kisichofikirika(kisijocho tegemewa) Je tutaonekana wehu
Kama Ukiniuliza mimi nipo tayari
(Mwangwi: Nipo tayari, nipo Tayari)
Kama ukiniuliza , nipo tayari
(Mwangwi: Nipo tayari, nipo Tayari)          

[Verse 2]
Najua uliwahi nitamkia
“hivi ndio hasa, ilipaswa kuhisi hivi kama ilipaswa kuwa”
Kama tutafanya kitu kuhusu hili
Inatubidi tufanya sasa
(Drake: Inatubidi tufanye sasa)
Bay, uh

[Bridge]
Unanipa hisia ambazo sikuwahi zihisi hapo kabla
Na ninastahiki, nafikiri ninastahiki
[Drake: Nastahiki, nahisi stahiki ..ipotezee)
Kinabadilika kuwa kitu ambacho, ni vigumu kukipuuzia
Na nimeshindwa kuvumilia
(Drake: Nimeshindwa kuvumilia

(Chorus-Alicia & Drake:)
Nilikuwa nastaajabu pengine
Ningekugeuza kuwa mpezi wangu
Tukifanya kisichofikirika(kisijocho tegemewa) Je tutaonekana wehu
Au ingependeza vyovyote vile minasema tuu
Kama Ukiniuliza mimi nipo tayari
(Mwangwi: Nipo tayari, nipo Tayari)
Kama ukiniuliza , nipo tayari
(Mwangwi: Nipo tayari, nipo Tayari)
Ndio, imba …

(Hook:)
Kwa nini tukate tama kabla hatuja jaribu
Hisi ya kawaida kabla makubwa
Tuweke sawa mabawa yetu sawa kabla yakuruka
Siwezi sema nilikuja nikiwa nimeshajiandaa
Ninaelea hewani
Huji angani tuwe sote

(Chorus-Alicia & Drake:)
Nilikuwa nastaajabu pengine
Ningekugeuza kuwa mpezi wangu
Tukifanya kisichofikirika(kisijocho tegemewa) Je tutaonekana wehu
Au ingependeza vyovyote vile minasema tuu
Kama Ukiniuliza mimi nipo tayari
(Mwangwi: Nipo tayari, nipo Tayari)
Kama ukiniuliza , nipo tayari
(Mwangwi: Nipo tayari, nipo Tayari)
Ndio, imba …..


No comments:

Post a Comment