MMiliki huyo mwenye asili ya urusi bado hajaridhishwa na
utendaji wa kocha huyo Mitaliano, achilia mbali mafanikio aliyoyapata kwa
kufanikiwa kuchukua kombe la fa, na klabu bingwa ulaya UEFA msimu huu
Mmiliki wa team ya
Tangu kuchaguliwa kwake kwa kipindi cha mpito, kufatia kufukuzwa
kasi kwa aliyekuwa kocha wa zamani Andre Villas Boas, ameibeab team hiyo , na
kuipa mataji matukufu
Na ikiwa bado Abramovich hamuoni kama kocha mwenye hadhi ya juu,
amekubali kuwa kocha huyo mwenye umri wa miaka 41, anastahiki kupewa nafasi
nyingine katika uwanja wa Stamford
Bridge , baada ya kumpa
mafanikio ya hali ya juu msimu huu
Hata hivyo maamuzi yeyote yanaweza kufikiwa hadi wiki ijayo,
ikimaanisha kuwa midifilda huyo wa
zamani anaweza kwenda mapumziko mafupi kabla ya hatma yake kuamauliwa
Pamoja na kwamba muitaliano huyo ana kingiwa kifua, na kikosi
cha klabu hiyo , pamoja na wapenzi wa timu hiyo , bado mmiliki huyo anamatumaini ya kuweza kumshawishi Pep
Guardiola kuja Lomdon, baada ya ya kocha huyo kutangaza kuachia ngazi kwenye
timu yake ya Barcelona

No comments:
Post a Comment